Tuesday, 7 February 2017

Agizo la Naibu waziri kuhusu kuhusu vijana wanaotuhumiwa kwa mapenzi ya jinsi moja


 Naibu Waziri wa Afya, Dr. Hamisi Kigwangalla February 6 2017  alitoa agizo juuu  ya vijana Watanzania wanaodaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Dr. Kigwangalla ameagiza wafuatao wafike wenyewe Kituo cha kati cha Polisi Dar es salaam kwa mahojiano kabla hawajatafutwa…. James Delicious, Kaoge Mvuto na Dani Mtoto wa mama.

No comments:

Post a Comment